Kwenye movie 
mpya ambayo itakua ya kwake ya pili kuigiza baada ya Super Star iliyozinduliwa 
na Omotola Jalade wa Nigeria, movie star wa Tanzania Wema Sepetu ataigiza na 
kutumia jina la Doris na hili gari ambalo ni moja ya anayoyamiliki kwenye maisha 
halisi, litatumika.Hapana chezea Mtoto ya sepetu



No comments:
Post a Comment