Tuesday, March 19, 2013

AUDI LA WEMA NDANI YA MOVIE YAKE MPYA



Kwenye movie mpya ambayo itakua ya kwake ya pili kuigiza baada ya Super Star iliyozinduliwa na Omotola Jalade wa Nigeria, movie star wa Tanzania Wema Sepetu ataigiza na kutumia jina la Doris na hili gari ambalo ni moja ya anayoyamiliki kwenye maisha halisi, litatumika.Hapana chezea Mtoto ya sepetu

No comments:

Post a Comment