Saturday, April 6, 2013

WORLD'S MOST BEAUTIFUL WOMEN OF 2013..

 


1, Angelina Jolie
2, Aishwarya Rai
 
                                                    3, Charlize Theron

4, Monica Bellucci
 

                                                     5, Meryem Uzerli
 

Tuesday, March 19, 2013

AUDI LA WEMA NDANI YA MOVIE YAKE MPYA



Kwenye movie mpya ambayo itakua ya kwake ya pili kuigiza baada ya Super Star iliyozinduliwa na Omotola Jalade wa Nigeria, movie star wa Tanzania Wema Sepetu ataigiza na kutumia jina la Doris na hili gari ambalo ni moja ya anayoyamiliki kwenye maisha halisi, litatumika.Hapana chezea Mtoto ya sepetu

Emraan Hashmi Among the Indian actor i love

Emraan Hashmi is an Indian film actor who appears in Hindi language films. Before starting his career as an actor, Hashmi worked with Vishesh Films as an assistant director on Vikram Bhatt's Raaz.

 
 
 
 
 

Friday, March 15, 2013

PENNY~ NEW MAMA KIJACHO IN TOWN, ADONDOSHEWA ZAWADI YA GARI

 
 
 
 
Mapenzi ya Diamond na Penny sasa yameenda next level kwani sasa wanatarajia kuitwa mama na baba nanilihu miezi michache ijayo, yote hayo yamejulikana katika kipindi cha XXL ya Clouds Fm na Gossip Cop ambapo Diamond alisema ni kweli Penny ambaye ni mtangazaji wa DTV ni mjamzito na wanatarajia kupata mtoto,

Soudy Brown alimuuliza kuhusu fununu za kutumia Milioni 15 kununua gari la mke wake mtarajiwa Penny

Diamond amekiri kwamba ni kweli kamnunulia Penny gari kwa sababu anaelekea kuwa mama watoto ambapo namkariri akisema “nilimuuliza gari gani anapenda, nimemuagizia iko njiani inakuja siwezi kusema ni bei gan ila kwa sasa anatumia la muda wakati akisubiria gari lake”

Alipoulizwa kuhusu kumuoa na kama mtoto atazaliwa nje ya ndoa, Diamond amejibu “siwezi kusema lini ila Mwenyenzi Mungu ndio anajua inaweza ikawa harusi ila kuna time inafika inabidi utulie, siwezi kusema chochote kwa sababu inawezekana mtoto akazaliwa ndani ya ndoa pia “