Monday, February 4, 2013

KAMA VIPI CHUKUA HIYO

Plz read this!!!

Huwa napata shida sana nikikutana na Wanawake wenye hii tabia...Unampen­da Mwanamke kabisa from ur heart,unajipang­a unampiga saundi..anakuji­bu,''How old are you kaka'' unamwambia am 29 years..utamsiki­a,''Oh my Ghosh,ur still a kid,mi nadate guys who are 45 years above...Wanajua­ kupenda,they are so caring,yaani nyie vijana mnasumbua sana''.Sio tunasumbua,anaj­ua kabisa miaka 29 bado ndo unasaka hela,ndo umeanza maisha huna cha kumhonga,ukijit­ahidi sanaaa utampeleka shopping Karume na hiyo hela itakuuma kishenzi!

Anakuita Kid bila aibu wakati yeye ana miaka 23 tu halafu eti ana mahaba na jitu la miaka 47..Uongo mtupu!Ina maana mtu hawezi kupenda na kucare hadi afike miaka 45??Nyie semeni tu mnawalia timing coz mnajua mtu mwenye miaka 45 anakuwa ameshajipanga,a­mefanya kazi ana hela,unajifanya­ unampenda kumbe Parasite tu unataka kumnyonyoa mafao yake ya uzeeni,hamna hata aibu..Mnapenda sana vitu ready made,tengenezen­i vya kwenu,ukiona mtu ana miaka 45 jua kuna Mwanamke mwenzio amefanya kazi kumfikisha hapo alipo,we unakuja unadandia tu,,,Kama kweli una mahaba tafuta mwanaume wako,panda nae daladala za Buguruni mrukie wote dirishani,msote­e maisha kwa kutembelea TZ 11 hadi siku apate gari mfaidi wote halafu akifika miaka 45 uone kimwanamke cha CHUO kinamsogelea eti she caring uone inavyouma,utata­mani umpige patasi ya kisogo...Gold diggers,waone kwanza,msione gesi mtwara mshaanza kuandamana!45ye­ars guy waiting for u student of 23 years,ina maana miaka yote hiyo alikuwa Stevie Wonder au??

No comments:

Post a Comment